Connecting Consciousness kama 
Shirika la Kiroho na la Hiari

CC ina endelea kukua kwa uanachama na inaenea katika nchi zaidi na zaidi katika mabara yote. Tuna maelfu ya wanachama duniani kote katika nchi zaidi ya 100 na katika nyingi ya nchi hizi vikundi viliundwa na waratibu.

Tunakutana ana kwa ana au kwenye Zoom/Skype na wanachama wetu wanaweza kuwa na uhakika kwamba haijalishi uzoefu wao ni ukoje, hapa CC tunajua kwamba mambo mengi zaidi yanawezekana kuliko washukiwa wa akili wa kawaida.

Zaidi ya hayo tunatumia jukwaa la kuaminika ili kuhakikisha mtandao wa uhusiano kati ya wanachama wetu wote katika kiwango cha kimataifa.

CC pia hufikia mashirika/vikundi vingine vyenye msingi wa kiroho na inaanzisha uhusiano na wanachama hawa.

About Simon Parkes

Initiator and founder of Connecting Consciousness is Simon Parkes. He is a British former elected politician, served a number of terms in office and in addition to his spiritual awareness he has access to helpful sources of information, not only due to his family background. His mother worked for the British domestic security service, MI5 and, as part of her work, wrote documents about UFOs that crashed on earth and were recovered by American special forces, she also reported to the NSA.

His grandfather worked for the British secret intelligence service, MI6, and was very closely associated with the American CIA. He was a British diplomat, and later served at the United Nations.

Simon Parkes has a lifetime of experience with extra-planetary lifeforms as well as military, and went public with this in 2010. In 2013 he was invited by the British Ministry of Defence to a secret British space radar station as a quasi confirmation of his background. Since then, he is respected by the media as an authority on various extraterrestrial races and beings.

In 2015 he became involved in the RV and has since then signed a number of NDAs with the White Hat’s.

About Rebecca Parkes

Rebecca Parkes (Becky) is the co-founder of Connecting Consciousness and leads the organisation’s day-to-day operations and spiritual offerings. She creates the Spiritual Topics with Chris Clifford which are shared with coordinators and members of CC as monthly discussion topics. Rebecca also hosts the Sacred Wisdom podcasts. She has a diploma in adult education focused on childbirth, a Degree in Biological Sciences, and a Masters in Environmental Health. Through Rebecca’s training and experiences, she is versed in various Shamanic traditions and healing styles, sound and light healing, hands on healing, divination, and developing one’s intuition. She also loves crystals, crystal healing, and taking walks in nature and by the seaside. She lives in England with her husband Simon Parkes and their cats and dogs.

Malengo

Kuunda mitandao

Kupitia vikundi vya kiroho vya ndani, kitaifa na kimataifa.

Kushirikishana maarifa

Kupitia elimu, utafiti na mijadala; kufichua ukweli, hivyo kuongeza ufahamu, na kuwafahamisha watu.

Sauti za pamoja

Kubadilisha sera na mitazamo ya umma, kushawishi serikali. Maswali ya kutia moyo, mijadala yenye nguvu, itakayo sababisha kuanzishwa kwa ukweli.

Malengo yetu;

Connecting Consciousness inatambua kwamba miundo ya sasa sio sikivu kwa watu au dunia hivyo inatafuta kutatua changamoto za kimataifa kupitia maendeleo ya jamii na kiroho, elimu na utawala.

Connecting Consciousness ina lenga kusaidia watu duniani kujifunza ili kuamshwa kwa ulimwengu unaowazunguka, kukuza uelewa wao na wajue wao ni nani na nafasi yao ya kweli ndani ya ulimwengu, na hivyo kusaidia jamii na maisha yote kusonga mbele kwa njia chanya.

Huduma kwa wengine badala ya kujitumikia kama moja ya maadili ya kimsingi.

Tutafanyaje hili? Kupitia malengo matatu yaliyounganishwa:

Maono Yetu

Katika hatua ya kwanza, tunataka kuwa na vikundi vilivyo ratibiwa katika kila nchi duniani kote, ambao wamekuwa na uzoefu sawa, ambao wanafikiri kuwa huduma kwa wengine ni muhimu zaidi kuliko huduma ya kibinafsi.

Watu ambao labda wameona UFOs au wamekuwa na utekaji nyara wa wageni au ambao wamekuwa na mwanafamilia ambaye amekuwa na mawasiliano fulani na huduma za siri za kijasusi au mashirika ya siri na wanajua ukweli.

Connecting Consciousness ni mahali ambapo watu wanaweza kuzungumza kwa usalama kwa njia ya kuunga mkono, bila wengine kuwacheka.

Tumeanzisha vikundi na tunaanzisha vikundi zaidi vya watu wanaoweza kusaidiana wakati wa dharura. Chochote kile kinaweza tokea, ikiwa hakuna dharura basi vikundi vinakutana mara kwa mara mtandaoni au ana kwa ana, na kusaidiana tu. Watu wa kiroho, watu ambao wana nia ya kukuza vyakula vya kikaboni, watu wanaoelewa kuwa uponyaji sio tu kutoa dawa katika chupa, watu ambao wanaelewa kuwa mifumo mingi inayotuzunguka haikuundwa kutusaidia, lakini imeundwa si kutusaidia bali kutudhibiti. Watu wanaotenda kwa sababu wana wasiwasi kuhusu 5G au wana wasiwasi kuhusu homoni katika chakula au chanjo.

Tunataka kuuonyesha ulimwengu kuwa kuna njia tofauti ya kuwathamini watu. Kwamba kuna namna tofauti ya kufanya mambo.

Connecting Consciousness ni juu ya kurudisha madaraka kwa watu. Ni kuhusu kuwaambia watu binafsi kwamba mashirika hayapo ili kukusaidia. Wapo kwa ajili ya kuunda na kujikimu.

Connecting Consciousness inataka kuwa na uwezo wa kushawishi wale watu wanaotunga sheria, kufanya sheria. Tunataka mamilioni ya watu wajiunge na Connecting Consciousness na kupitia idadi yetu kubwa kufanya mabadiliko.

Kwa hiyo tungependa kuona kwa njia ya amani, watu wakianza kuweka shinikizo pale ambapo kuna ukosefu wa haki. Kwa nini ni makosa kupinga ukosefu wa haki? Kamwe si makosa.